USIUZE KADI YAKO

USIUZE KADI YAKO

Focusradiotz

Ijumaa, 11 Desemba 2015

Tume ya Taifa ya Uchaguzi inawakumbusha wananchi wote wa majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini kuwa Uchaguzi wa Ubunge katika majimbo hayo utafanyika kama ulivyopangwa tarehe 13/12/2015.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni