USIUZE KADI YAKO

USIUZE KADI YAKO

Focusradiotz

Jumatano, 29 Julai 2015

NEC YAREKEBISHA KASORO CHACHE ZA UANDIKISHAJI KWA BVR JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damiani Lubuva, akizungumza na waandishi wa Habari mapema wiki hii Katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
  Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damiani Lubuva, akijiandikisha katika Daftari la kudumu kwa mfumo wa BVR mapema wiki hii.
 Baadhi ya wananchi wa jijini Dar es Salaam wanaoendelea kujitokeza ili kujiandikisha kwa mfumo wa BVR.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni